Terensiani wa Todi

Terensiani wa Todi (alifariki Todi, Umbria, 1 Septemba 138 hivi BK) anakumbukwa kama askofu wa kwanza wa mji huo (Italia ya Kati) hadi kifodini chake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90322
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

  • Mons. Zaffarami, San Terenziano primo vescovo e martire di Todi..., Todi 1935
  • G. Lucchesi, Terenziano, in Bibliotheca Sanctorum, XII, coll. 370-372, Roma 1961-1970
  • Lanzoni, La Passio S. Sabini, 1903
  • O. Maturo, Antica leggenda ed inni inediti di San Terenziano, in "Archivio per la Storia Ecclesiastica dell'Umbria", I (1913), pp. 239–247
  • P. Chiricozzi, San Terenziano V.M. patrono di Capranica, Roma 1985 (nuova edizione)

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.