Abel Makkonen Tesfaye (aliyezaliwa 16 Februari 1990), anayejulikana kama The Weeknd ("mwishoni mwa wiki"), ni mwimbaji wa Canada, mtunzi wa rekodi.

The Weeknd

Mwishoni mwa mwaka wa 2010, Tesfaye alitambulisha nyimbo kadhaa kwenye YouTube chini ya jina "The Weeknd". Alifungua nyimbo tatu za kufunguilia mwaka 2011 ambazo ni: House of Balloons,Thursday na Echoes of Silence, ambazo zilitambaa sana. Mnamo mwaka 2012,alishirikiana kutoa albamu na kikundi cha Trilogy,ambayo ilikuwa na nyimbo thelathini iliyopangwa na nyimbo tatu za ziada.Albamu hiyo Ilitolewa chini ya Republic Records na lebo yake mwenyewe XO.

Mwaka 2013, alitoa albamu yake ya kwanza ya studio ya Kiss Land, ambayo ambayoilisapotiwa na "Land Kiss" na "Live For". Albamu yake ya pili, Beauty Behind Madness, ambayo ilikuwa albamu yake ya kwanza kuwa kwenye Billboard ya Marekani 200, na nyimbo "shika" nambari moja ni ya "Hills" na "I Cant Feel My Face". Nyimbo hizo zimefanyika matangazo ya juu ya Billboard Hot R & B kwa wakati huo huo, na kumfanya awe msanii wa kwanza katika historia ya kufikia hili. The Weeknd ameshinda tuzo mbili za Grammy na tuzo tisa za Juno. Mnamo Septemba 2016, kutolewa kwa albamu ya tatu Starboy ilitangazwa pamoja na kutolewa kwa wimbo wa "Starboy", ambao ulishika namba moja kwenye Billboard Hot 100.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu The Weeknd kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.