Jaa Phanom (ajulikanaye kwa jina la Tony Jaa; alizaliwa Surin, 5 Februari 1976) ni mwigizaji raia wa Thailand mwigizaji wa sanaa ya kijeshi (king Martial art) wa Kithai.

Tony Jaa akiwa katika pozi la martial art

Tony Jaa ana uwezo wa kuongea lugha tofauti kama vile Kithai, Kikhmer Kaskazini, na Kikuy.

Kwenye ujana wake alikuWa anaangalia picha za Bruce Lee ,Jackie Chan, na Jet Li hiyo ndiyo ilikuWa kivutio chake cha kujifunza martial art-Pia Tony Jaa ameigiza movie mbalimbali kama vile "Ong bak", "Monster hunter", "the bodyguard" katika movie zilizopokea tuzo ni pamoja na movie yake ya ong bak.

Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tony Jaa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.