Transista
Transista (kwa Kiingereza: en:transistor) ni kifaa cha kielektroniki chenye uwezo wa kukuza na kuunganisha taarifa za kieletroniki [1] na taarifa za kiumeme [2][dead link]. Hutumika kama swichi, au kukuza ukubwa wa mitetemo (signals).

Picha ya transista.
Imeundwa na malighafi za semikonda [2] na kuwa na utando wa semikonda za aina tatu zilizobandikwa pamoja, ambazo huwa mbili za kufanana kila upande na moja tofauti katikati, kwa mfano: pnp au npn.
Transista ndio msingi wa ufundi wa kielektroniki.
TanbihiEdit
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |