UNESCO

wakala maalumu wa Umoja wa Mataifa kwa elimu, sayansi na utamaduni

UNESCO ni kifupisho cha United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization yaani Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa.

Bendera ya UNESCO

Ni kitengo cha Umoja wa Mataifa ambacho kinashughulika habari za elimu, sayansi na utamaduni duniani.

Kisheria UNESCO ni shirika la kujitegemea lenye madola wanachama 191.

Kati ya shughuli muhimu za UNESCO mojawapo ni Orodha la Urithi wa Dunia linalojumlisha mahali penye umuhimu wa pekee kihistoria, kisayansi au kiutamaduni.

Nchi zote zina mahali angalau moja orodhani, nyingine zina pengi, hasa Italia na Hispania.

Viungo vya nje hariri