Ufalme wa Bunyoro linapatikana mashariki mwa Uganda na linaongozwa na mfalme (omukama)[1], kwa sasa Solomon Iguru I, ambaye ni wa 27 kwa Bunyoro-Kitara.[2]

Ufalme wa Bunyoro leo.

Ufalme wa Bunyoro uliwahi kuwa na nguvu sana katika Afrika Mashariki na ya Kati kuanzia karne ya 13 hadi ile ya 19.

Zamani uchumi ulitegemea uwindaji wa tembo, simba, chui na mamba. Siku hizi Wanyoro ni hasa wakulima wanaozalisha ndizi, mtama, mhogo, yam, pamba, tumbaku, kahawa na mpunga.

Leo Wanyoro wanakadiriwa kuwa 1,400,000. Wengi wao ni Wakristo.

Tanbihi hariri

  1. Stokes, Jamie (2009). Encyclopedia of the Peoples of Africa and the Middle East, Volume 1. Infobase Publishing. ku. 506–509. 
  2. Facts about the Kingdom, https://www.scribd.com/doc/35682709/2010-01-21-Bunyoro-Kitara-Kingdom-General-Information Archived 5 Novemba 2012 at the Wayback Machine.

Viungo vya nje hariri