Katika utarakilishi, umbizo jalada (kwa Kiingereza: File format) ni mwendo wa data zinazochanganuliwa ili kutunzwa katika jalada. Umbizo jalada linaonyesha muundo wa biti katika kifaa cha kutunzia. Kwa mfano, AAC, MP3, MP3Pro, Ogg-Vorbis, RealAudio, Speex, VQF, WMA, MIDI, DIVX, MPEG1, MPEG2, MPEG4, Ogg-Tarkin, Ogg-Theora au VP3 ni maumbizo jalada.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.