Ushindi
Ushindi (kutoka kitenzi kushinda, yaani kubaki; kwa Kiingereza: victory) ni neno linalomaanisha kufanikiwa au kufaulu katika matukio kama vile majaribu, mitihani, kesi, mapigano au mechi.

Johann Carl Loth: Mfano wa Ushindi.
Katika UkristoEdit
Katika Ukristo ushindi mkuu ni ule alioupata Yesu kwa ajili ya watu wote dhidi ya mauti kwa kufufuka kwake.[1]
TanbihiEdit
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |