Usimoni ni dhambi ya kuuza au kununua vitu vitakatifu au nafasi ya uongozi katika Kanisa kama alivyotaka kufanya Simoni Mchawi kadiri ya Matendo ya Mitume (8:9-24).

Abati akitenda kwa usimoni (Ufaransa, karne ya 12).

Dhambi hiyo imelaumiwa kuanzia karne ya 5 lakini ilizidi kutokea katika karne ya 9 na ya 10[1].

Hadi leo Sheria za Kanisa zinakabili tatizo hilo kwa kubatilisha uteuzi na kuadhibu wahusika[2].

Tanbihi hariri

  1. Merriam-Webster's Encyclopedia of World Religions, edited by Wendy Doniger, 1999
  2. "Code of Canon Law - Title IX - Ecclesiastical Offices (Cann. 145-196)". www.vatican.va. Retrieved 26 April 2022.

Marejeo hariri

  • Clashfern, Lord Mackay of, mhariri (2002), Halsbury's Laws of England 14 (toleo la 4th)  "Ecclesiastical Law", 832 'Penalties and disability on simony'; 1359 'Simony' (see also current updates)
  • Smith, W. (1880). "Simony". A Dictionary of Christian Antiquities: Being a Continuation of the 'Dictionary of the Bible'. J.B. Burr Pub. Co.. https://archive.org/details/adictionarychri04cheegoog.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Usimoni kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.