Sheria za Kanisa ni taratibu zilizokubaliwa na mamlaka ya Kanisa katika kuendesha shughuli zake za ndani na za nje. Awali sheria za namna hiyo zilitolewa na Mitume wa Yesu, halafu na waandamizi wao, hasa maaskofu waliokusanyika katika mitaguso na sinodi mbalimbali[1]

Kurasa za Decretum ya Burchard wa Worms, kitabu cha sheria za Kanisa cha karne ya 11.

Umuhimu wa sheria hizo ni tofauti kadiri ya madhehebu husika.

Katika karne ya 20 Kanisa Katoliki, maarufu kwa kutia maanani umoja na utaratibu, limekusanya sheria zake muhimu zaidi katika vitabu viwili vya Kilatini: kimoja kwa Kanisa la Kilatini (Codex Iuris Canonici), kingine kwa Makanisa Katoliki ya Mashariki (Codex Canonum Ecclesiarium Orientalium).

Tanbihi hariri

  1. Boudinhon, Auguste. "Canon Law." The Catholic Encyclopedia. Vol. 9. New York: Robert Appleton Company, 1910. 9 Aug. 2013

Marejeo hariri

  • Baker, J.H. (2002) An Introduction to English Legal History, 4th ed. London : Butterworths, ISBN 0-406-93053-8
  • Brundage, James A., The Medieval Origins of the Legal Profession: Canonists, Civilians, and Courts, Chicago : University of Chicago Press, c2008.
  • Brundage, James A., Medieval Canon Law, London ; New York : Longman, 1995.
  • The Episcopal Church (2006) Constitution and Canons Archived 5 Septemba 2015 at the Wayback Machine., together with the Rules of Order for the Government of the Protestant Episcopal Church in the United States of America, otherwise known as The Episcopal Church, New York : Church Publishing, Inc.
  • Hartmann, Wilfried and Kenneth Pennington eds. (2008) The History of Medieval Canon Law in the Classical Period, 1140-1234: From Gratian to the Decretals of Pope Gregory IX, Washington, D.C.: The Catholic University of America Press.
  • Hartmann, Wilfried and Kenneth Penningon eds. (2011) The History of Byzantine and Eastern Canon Law to 1500, Washington, D.C.: The Catholic University of America Press.
  • R. C. Mortimer, Western Canon Law, London: A. and C. Black, 1953.
  • Robinson, O.F.,Fergus, T.D. and Gordon, W.M. (2000) European Legal History, 3rd ed., London : Butterworths, ISBN 0-406-91360-9

Viungo vya nje hariri

Kanisa Katoliki hariri

Anglikana hariri

  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sheria za Kanisa kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.