Wasafi Classic Baby (inayojulikana sana kwa ufupi wake: 'WCB'; wakati mwingine inatajwa kama WCB Wasafi)[1][2][3]. ni lebo ya rekodi ya Tanzania iliyoanzishwa na mwanamuziki Diamond Platnumz [4].

Faili:WCB Wasafi.jpg
Logo ya WCB Wasafi.

Wasanii hariri

WCB Wasafi imesaini idadi ya wasanii kutoka Tanzania ambao wamefanikiwa kupata muziki wao kote barani Afrika na baadhi yao hata wakiteuliwa kwenye tuzo za BET, Tuzo za Muziki za MTV Africa na AFRIMMA[5] MTV Africa Music Awards and AFRIMMA awards [6].

Wafanyakazi hariri

WCB Wasafi ina wafanyakazi 36 na hii ni pamoja na wasanii wote waliosainiwa chini ya lebo hiyo, producer (Laizer, Tuddy Thoma), wapigapicha, wasimamizi wa wasanii (Babu Tale, Sallam SK, Said Fella, Ricardo Momo, Makame Fumbwe, Joseph Oladugba King, Lukamba, Rayvanny, Mbosso, Zuchu, Lava Lava, Queen Darling), wacheza muziki (Dummy Utamu, Mose Iyobo, Zungu, Hbaajuni) na usimamizi mzima. Pamoja na Harmonize kuondoka lakini WCB inaendelea vizuri.

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu WCB Wasafi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.