Wilaya ya Amran
Wilaya ya Amran ni moja ya wilaya (muhafaza) 21 ya kujitawala ya Yemen. Idadi ya wakazi wake ni takriban 1.339.229. Mji wake mkuu ni Amran.

عمران Wilaya ya Amran |
|
![]() Wilaya ya Amran |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Mji mkuu | Amran |
Eneo | |
- Jumla | 7,900 km² |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 1.339.229 |
Tazama pia
hariri
Wilaya za Yemen | |
---|---|
Abyan | Ad Dali | Adan | Al Bayda | Al Hudaydah | Al Jawf | Al Mahrah | Al Mahwit | Amanah al-'Asmah | Amran | Dhamar | Hadhramaut | Hajjah | Ibb | Lahij | Marib | Raymah | Sadah | Sana'a | Shabwah | Taizz | |
+/- |
Makala hii kuhusu maeneo ya Yemen bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Amran kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |