Kakonko ni wilaya mojawapa kati ya 8 za mkoa wa Kigoma, yenye postikodi namba 47700, ambayo ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012.

Eneo lake limemegwa kutoka wilaya ya Kibondo na lina ukubwa wa kilomita za mraba 2,209 [1].

Idadi ya wakazi ilikuwa 167,555 wakati wa sensa wa mwaka 2012. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 178,419 [2].

Makao makuu ya wilaya yako Kakonko.

Marejeo hariri

  1. https://www.citypopulation.de/en/tanzania/admin/kigoma/1607__kakonko/
  2. https://www.nbs.go.tz
  Kata za Wilaya ya Kakonko - Mkoa wa Kigoma - Tanzania  

Gwanumpu | Gwarama | Kakonko | Kanyonza | Kasanda | Kasuga | Katanga | Kiziguzigu | Mugunzu | Muhange | Nyabibuye | Nyamtukuza | Rugenge

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kigoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kakonko kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.