Zamani ni kipindi cha historia.

Katika kamusi mbalimbali inatafsiriwa sawa na wakati, ukiwemo uliopita, uliopo na ujao. Lakini katika lugha ya kawaida, zamani bila kutaja kipindi fulani cha wakati inaweza kumaanisha tu wakati uliopita tangu muda mrefu, na sasa haupo tena.

Zamani inaweza kurejelea nyakati tofauti kulingana na muktadha, kama vile zamani ya kihistoria, zamani ya kisasa, au hata zamani ya hivi karibuni.

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Zamani kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.