Abashade (pia: Psote, Bisada, Besada, Abashadi, Abassadius, Beshada; alifariki 300) ni kati ya maaskofu wa Misri wa karne ya 3 waliofia dini ya Ukristo. Alikuwa askofu wa Ebsay lakini alikatwa kichwa huko Antinoe.

Hayajulikani mengine kuhusu historia yake, ila tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Desemba, lakini pia 21 Desemba[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Holweck, F. G. A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO: B. Herder Book Co. 1924.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.