Alberto Moreno

Mchezaji wa soka wa Hispania

Alberto Moreno (alizaliwa 5 Julai 1992) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa timu ya taifa ya Hispania na klabu ya Liverpool F.C. ya nchini Uingereza ambaye anacheza katika nafasi ya beki wa kushoto.

Alberto Moreno
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaHispania Hariri
Nchi anayoitumikiaHispania Hariri
Jina katika lugha mamaAlberto Moreno Hariri
Jina la kuzaliwaAlberto Moreno Pérez Hariri
Jina halisiAlberto Hariri
Jina la familiaMoreno Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa5 Julai 1992 Hariri
Mahali alipozaliwaSevilla Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKihispania Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timufullback Hariri
Muda wa kazi2011 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji18 Hariri
LigiLigi Kuu Uingereza Hariri

Alianza kuichezea klabu ya Sevilla ya nchini Hispania mwaka 2012 hadi mwaka 2014.

Mwaka 2014 alihamia klabu ya Liverpool ambayo anaichezea mpaka sasa.

Moreno ameichezea Liverpool mechi 88 na kushinda magoli matatu.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alberto Moreno kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.