Alfredo Talavera Díaz (alizaliwa 18 Septemba 1982) ni mchezaji wa soka wa Mexiko, ambaye anacheza klabu ya Toluca na timu ya taifa ya Mexiko kama kipa.

Alfredo Talavera
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaMexiko Hariri
Nchi anayoitumikiaMexiko Hariri
Jina halisiAlfredo Hariri
Jina la familiaTalavera Hariri
Second family name in Spanish nameDíaz Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa18 Septemba 1982 Hariri
Mahali alipozaliwaLa Barca Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKihispania Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timugoalkeeper Hariri
Muda wa kazi2003 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji1 Hariri
Ameshiriki2014 FIFA World Cup, football at the 2016 Summer Olympics, Kombe la Dunia la FIFA 2018 Hariri
Alfredo Talavera (2017)

kazi ya kimataifa hariri

Tarehe 27 Januari 2011, Talavera aliitwa katika timu yake ya taifa ya Mexiko kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Bosnia na Herzegovina.

Alichezea timu yake ya taifa kwa mara ya kwanza 26 Machi, 2011 katika mechi ya kirafiki dhidi ya Paraguay.

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alfredo Talavera kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.