Mtakatifu Arnold Janssen (Goch, Ujerumani,5 Novemba 1837Steyl, Uholanzi, 15 Januari 1909) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha mashirika ya wamisionari wa kiume na wa kike [1].

Picha halisi ya Mtakatifu Arnold Janssen.

Alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mwenye heri tarehe 19 Oktoba 1975, na Papa Yohane Paulo II tarehe 5 Oktoba 2003 kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[2].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri
 
WikiMedia Commons
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.