Ben Chilwell

Wachezaji mpira wa Uingereza

Benjamin James Chilwell (alizaliwa 21 Desemba 1996) ni mchezaji wa soka wa Uingereza ambaye anacheza kama beki wa klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Leicester.

Ben Chilwell
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaUfalme wa Muungano Hariri
Nchi anayoitumikiaUingereza Hariri
Jina katika lugha mamaBen Chilwell Hariri
Jina la kuzaliwaBenjamin James Chilwell Hariri
Jina halisiBen Hariri
Jina la familiaChilwell Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa21 Desemba 1996 Hariri
Mahali alipozaliwaMilton Keynes Hariri
Lugha ya asiliKiingereza Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiingereza Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timufull back, wing back Hariri
AlisomaRedborne Upper School and Community College, Loughborough College Hariri
Muda wa kazi2015 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji21 Hariri
AmeshirikiUEFA Euro 2020 Hariri
LigiEnglish Football League, Ligi Kuu Uingereza Hariri

Huddersfield Town hariri

Mnamo 19 Novemba 2015, Chilwell alijiunga na klabu ya Soka ya ya Huddersfield Town kwa mkopo akitokea leicester city ya vijana mpaka 3 Januari 2016.

Leicester City hariri

Mnamo tarehe 28 Julai 2016, Chilwell alisaini mkataba mpya na klabu ya Leicester City hadi mwaka wa 2021.

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ben Chilwell kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.