Cristian Rodriguez

Cristian Rodriguez (alizaliwa Juan Lacez, Urugwai, 30 Septemba 1985) ni mchezaji wa soka.

Cristian Rodriguez
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaUruguay, Italia Hariri
Nchi anayoitumikiaUruguay Hariri
Jina halisiCristian Hariri
Jina la familiaRodríguez Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa30 Septemba 1985 Hariri
Mahali alipozaliwaJuan Lacaze Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiitalia Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuplaymaker Hariri
Muda wa kazi2002 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Ameshiriki2014 FIFA World Cup, Kombe la Dunia la FIFA 2018 Hariri
Rodríguez akiwa na Peñarol mwaka wa 2018
Rodríguez akiwa na Peñarol mwaka 2018

Alianza kucheza mpira akiwa mdogo sana; jina lake la utani waliokuwa wanamuita ni Cebolla lilitoka huko penalo kwa baba yake na sababu ya kulipenda jina hilo lilikuwa na maana nzuri ni mtu mwenye kasi, uwezo na maarifa.

Katika kipindi chake alishawahi kucheza Ureno katika timu zinazoitwa Benfica na Porto; pia alishawahi kuchezea Atletico Madrid.

Rodriguez aliwakilisha timu ya taifa lake mwaka 2014 katika Kombe la Dunia la FIFA.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Cristian Rodriguez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.