Marcus Didius Salvius Julianus Severus (133 au 137 – 1 Juni 193) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 28 Machi 193 hadi kifo chake.

Shaba inayoonyesha Didius Julianus

Alimfuata Pertinax aliyemuua lakini akaondoshwa madarakani na Septimius Severus na kuuawa kisheria.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Didius Julianus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.