Disibodo
Disibodo (pia: Disibod, Disibode, Disen; Ireland, 619 - Ujerumani, 700 hivi) alikuwa mkaapweke lakini pia korepiskopo mmisionari huko Rhine-Palatino kuanzia mwaka 640[1].
Baada ya kupata wafuasi wengi alianzisha monasteri kwenye mto Nahe[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ von Bingen, Hildegard (2010). Hildegard of Bingen Two Hagiographies: Vita sancti Rupperti confessoris Vita sancti Dysibodi episcopi (kwa latin, English). Paris, Leuven, Walpole, MA: Peeters. ku. 86–157. ISBN 9789042923188. It is included in Throop (trans.), Three Lives and a Rule (Charlotte, VT: MedievalMS, 2010).
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92091
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- "St. Disen, or Disibode, of Ireland, Bishop and Confessor", Butler's Lives of the Saints
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |