Disibodo (pia: Disibod, Disibode, Disen; Ireland, 619 - Ujerumani, 700 hivi) alikuwa mkaapweke lakini pia korepiskopo mmisionari huko Rhine-Palatino kuanzia mwaka 640[1].

Mt. Disibodo alivyochorwa.

Baada ya kupata wafuasi wengi alianzisha monasteri kwenye mto Nahe[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Julai[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. von Bingen, Hildegard (2010). Hildegard of Bingen Two Hagiographies: Vita sancti Rupperti confessoris Vita sancti Dysibodi episcopi (kwa latin, English). Paris, Leuven, Walpole, MA: Peeters. ku. 86–157. ISBN 9789042923188.  It is included in Throop (trans.), Three Lives and a Rule (Charlotte, VT: MedievalMS, 2010).
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92091
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.