Eladi wa Auxerre (kwa Kifaransa: Hellade; alifariki Auxerre, leo nchini Ufaransa, 388) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 365 hadi kifo chake[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kila tarehe 8 Mei[3][4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, pp. 432-433, 436 e 437-438.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/52310
  3. Martyrologium Romanum
  4. Martyrologium Hieronymianum, in Acta Sanctorum Novembris, II (1894), pp. [57].

Marejeo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.