Eparki wa Angouleme

Eparki wa Angouleme (kwa Kifaransa: Cybard, Ybars au Éparche; Angouleme, Akwitania, leo nchini Ufaransa, 504 - 581) alikuwa padri ambaye aliishi miaka 39 kwa toba kali akiwa amejifungia upwekeni[1][2][3].

Pango lake huko Angoulême.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Julai[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/60080
  2. Gervers (1967), 14, note 28: locus remotus et civitas procul et desuper latere montis fons aquae fluens manaret, et Carantonis fluvius ab alio excluderet latere.
  3. His story is told in Gregory of Tours Historia Francorum (VI, 8).
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

  • Saint-Roche, P. (1985). "A propos du sanctoral du sacramentaire d'Angoulême." Rivista di archeologia cristiana 61 (1–2): 113–18.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.