Felisi wa Split
Felisi wa Split (alifariki Split, Dalmatia, leo nchini Kroatia, mwanzoni mwa karne ya 4) ni kati ya Wakristo wengi waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |