Fulkrano (karne ya 10 - 13 Februari 1006 BK) alikuwa askofu wa Lodeve (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 949 hadi kifo chake[1].

Muujiza wa Mt. Fulkrano.

Alijitahidi kudai waklero na watawa washike maadili yao, alistawisha liturujia na kusaidia fukara[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Februari[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.