Gaudioso wa Brescia

Gaudioso wa Brescia (alifariki 445 hivi) anakumbukwa kama askofu wa 12 wa Brescia (Italia Kaskazini) kwa muda wa miaka 13 hivi[3].

Mt. Gaudioso alivyochorwa na Romanino[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Machi[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. https://catholicsaints.info/saint-gaudiosus-of-brescia/
  2. https://www.nationalgallery.org.uk/paintings/girolamo-romanino-saint-gaudioso
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/44160
  4. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.