Gotland

Gotland ni kisiwa, manispaa na jimbo nchini Uswidi.

Kanisa la Tofta katika Mji wa Gotland
Ramani ya Gotland
Sverigekarta-Landskap Gotland.svg

Ndiyo kisiwa kikubwa cha kwanza nchini Uswidi na pia ni kisiwa kikubwa cha Bahari ya Baltiki.

Kuna wakazi 58,003 (mwaka 2016). Mji mkubwa wa kwanza ni Visby.

JiografiaEdit

Eneo lake ni km² 3,183.7. Iko kati ya Bahari ya Baltiki.

MawasilianoEdit

NdegeEdit

Visby Airport inamilikiwa na Swedavia. Kiwanja cha ndege kiko kaskazini kwa Visby.

Wakazi mashuhuriEdit

Nyumba ya sanaaEdit

Viungo vya njeEdit

  Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Gotland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.