Grossglockner ni mlima wa Alpi katika nchi ya Austria (Ulaya).

Mlima wa Grossglockner ulivyochorwa na Edward Theodore Compton (1918)

Urefu wake ni mita 3,797 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Grossglockner kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.