Ilidi (kwa Kifaransa: Alyre; alifariki 384 hivi) alikuwa askofu wa 4 wa Clermont-Ferrand [1].

Kaisari alimuita Trier ili kutoa pepo katika binti yake; wakati wa kurudi alifariki njiani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Juni[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • (Kifaransa) Jacques Baudoin, Grand livre des saints : culte et iconographie en Occident, Nonette, Créer, 2006, p. 83.
  • (Kifaransa) Laura Foulquier, « Le remploi de l'Antiquité dans le Moyen Âge chrétien : souvenir ou mythe ? », in Métamorphoses du mythe : réécritures anciennes et modernes des mythes antiques, Edizioni Orizons, 2008, p. 281. ISBN|9782296188495 (On line.)
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.