Kwa maana nyingine ya jina hili angalia hapa

Itumba ni kata ya Wilaya ya Igunga katika Mkoa wa Tabora, Tanzania, yenye postikodi namba 45608.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa 12,957 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 20,464 waishio humo.[2]

Mbunge wa jimbo la Igunga, Daktari Dalali Kafumu, anatokea kata ya Itumba.

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Igunga - Mkoa wa Tabora - Tanzania  

Bukoko | Chabutwa | Chomachankola | Iborogelo | Igoweko | Igunga | Igurubi | Isakamaliwa | Itumba | Itunduru | Kining'ila | Kinungu | Kitangili | Lugubu | Mbutu | Mtunguru | Mwamakona | Mwamala | Mwamashiga | Mwamashimba | Mwashikumbili | Mwisi | Nanga | Ndembezi | Ngulu | Nguvumoja | Nkinga | Ntobo | Nyandekwa | Simbo | Sungwizi | Tambalale | Ugaka | Uswaya | Ziba


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tabora bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Itumba (Igunga) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.