James Tate (mwandishi)

James Vincent Tate (8 Desemba 19438 Julai 2015) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1992 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

James Tate (kushoto) akiwa kijana

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu James Tate (mwandishi) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.