Jero
Jero (pia: Jeroen, Jeron, Iero, Hiëron; alifariki Noordwijk, Uholanzi, 856) alikuwa padri kutoka Uskoti mmisionari huko Frisia aliyekatwa kichwa na Wavikingi Wapagani[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Sint-Jeroen in de databank van Nederlandse bedevaartplaatsen van het Meertens Instituut
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |