Jero (pia: Jeroen, Jeron, Iero, Hiëron; alifariki Noordwijk, Uholanzi, 856) alikuwa padri kutoka Uskoti mmisionari huko Frisia aliyekatwa kichwa na Wavikingi Wapagani[1].

Mt. Jero na watakatifu Bonifasi, Gregori Mkuu na Adalberto wa Egmond.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Agosti[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.