John Paul Oulu

Mwanaharakati wa Kenya

John Paul Oulu (aliyejulikana kama Oulu GPO; alifariki Nairobi, Machi 5, 2009) alikuwa mwanaharakati wa haki za binadamu wa Kenya na Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Shirika la Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi, baraza wakilishi la wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Nairobi.[1]

Mauti yake yanahusishwa sana na kazi yake ya kuandika juu ya mauaji ya polisi.[2] [3]

Kazi kuhusiana haki za binadamu

hariri

Oulu alisifiwa kwa jukumu muhimu katika kazi ya uchunguzi kuhusiana na mauaji ya polisi nchini Kenya,[4] [5]

Mauaji yake

hariri

Oulu alipigwa risasi na kuuawa akiwa katika msongamano wa magari jijini mnamo Machi 5, 2009, pamoja na wakili Oscar Kamau Kingara.[6] Kufuatia mauaji hayo, WikiLeaks iliitisha ripoti za mashahidi na kuwaelezea Kingara na Oulu kamawanaharakati wakuu wa haki za binadamu wanaohusiana na Wikileaks.[7]

Marejeo

hariri
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Paul Oulu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.