Mwenyekiti ni kiongozi wa juu katika shirika au kikundi, kama vile bodi au kamati. Mwenyekiti ndiye anyeongoza vikao vyote katika kikundi au shirika husika.

Hashimu Rungwe mwenyekiti wa chama cha siasa kutoka Tanzania CHAUMA
Samia Suluhu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM kutoka Tanzania

Kwa kawaida huchaguliwa au kuteuliwa na wanashirika au wanakikundi husika kulingana na sheria na kanuni zao.