Mwenyekiti
Mwenyekiti ni kiongozi wa juu katika shirika au kikundi, kama vile bodi au kamati. Mwenyekiti ndiye anyeongoza vikao vyote katika kikundi au shirika husika.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d9/NASH_MC_na_Hashim_Rungwe.jpg/220px-NASH_MC_na_Hashim_Rungwe.jpg)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/70/Samia_Suluhu_Hassan_in_May_2017.jpg/220px-Samia_Suluhu_Hassan_in_May_2017.jpg)
Kwa kawaida huchaguliwa au kuteuliwa na wanashirika au wanakikundi husika kulingana na sheria na kanuni zao.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |