Kasilda
Kasilda (Toledo, Hispania, 950 - Briviesca, Hispania, 1050[1]) alikuwa bikira Mwislamu, binti Yahya ibn Ismail al-Mamun, mfalme wa Toledo.
Baada ya kuzoea kuwasaidia kwa huruma Wakristo waliofungwa gerezani[2] , alibatizwa huko Burgos akaishi kama mkaapweke hadi mwisho wa maisha yake marefu[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "St. Casilda of Toledo, Spain", Antiochian Orthodox Christian Archdiocese of North America
- ↑ ""St. Casilda", Franciscan Media". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-06-28. Iliwekwa mnamo 2022-10-28.
- ↑ Butler, Alban; Burns, Paul (1999-01-01). Butler's Lives of the Saints: April (kwa Kiingereza). A&C Black. uk. 66. ISBN 978-0-86012-253-1.
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo hariri
- Concha Espina, Casilda de Toledo (Madrid: Biblioteca nueva, 1940)
Viungo vya nje hariri
- Zurbaran: Santa Casilda Archived 31 Januari 2018 at the Wayback Machine.
- (Kihispania) Santa Casilda
- St. Casilda of Toledo at the Christian Iconography web site
- St. Casilda of Toledo
- SANTA CASILDA DE TOLEDO
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |