Kathmandu (kwa Kinepali: काठमाडौं, काठमान्डु) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Nepal wenye wakazi milioni 1.5. Iko katika bonde la Kathmandu kando ya mto Bagmati kwenye milima ya Himalaya kwa kimo cha mita 1,300. Miji ya Patan na Bhaktapur iko karibu. Mahali pake ni 27°43′N 85°22′E.

Jiji la Kathmandu
Nchi Nepal
Mahekalu kwenye uwanda wa Durbar mjini Patan

Mji una mahekalu mengi mazuri ya Uhindu na Ubuddha pamoja na nyumba za kihistoria. Bonde lote la Kathmandu liliingizwa na UNESCO katika orodha ya urithi wa dunia.

Picha hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kathmandu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.