Kaunti ya Bomet ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Ramani ya Kaunti ya Bomet, Kenya
Barabara ya Kaunti ya Bomet, Kenya

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 875,689 katika eneo la km2 2,530.9, msongamano ukiwa hivyo wa watu 346 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Bomet.

Utawala hariri

Kaunti ya Bomet imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eneo bunge Kata
Bomet Mashariki Merigi, Kembu, Longisa, Kipreres, Chemaner
Bomet ya Kati Silibwet Mjini, Nadaraweta, Singorwet, Chesoen, Mutarakwa
Chepalungu Kong'asis, Nyangores, Sigor, Chebunyo, Siongiroi
Konoin Chepchabas, Kimulot, Mogogosiet, Boito, Embomos
Sotik Ndanai/Abosi, Chemagel, Kipsonoi, Rongena/Manaret, Apletundo

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3] hariri

  • Bomet East 144,275
  • Chepalungu 164,837
  • Konoin 163,507
  • Sotik 227,855
  • Bomet Central 175,215

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30. 
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Bomet-county/
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.