Maeneo bunge ya Kenya

Maeneo bunge ya Kenya yanatumika kuchagua wajumbe wa bunge la Kenya. Kuna maeneo bunge 290 nchini Kenya.

Kenya ina mfumo wa kupiga kura wa mshindi-mmoja, kumaanisha kila eneo bunge linachagua mbunge mmoja tu.

Maeneo bunge yamegawanywa zaidi katika kata, zinazotumika kuchagua madiwani kwa serikali za mitaa.

Wabunge na madiwani wanachaguliwa wakati wa uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano. Uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2007 ulisababisha mgogoro mkubwa.

Baada ya hapo ilitungwa katiba mpya ya mwaka 2010.

Maeneo bunge kaunti kwa kaunti hariri

Kaunti ya Baringo hariri

Kaunti ya Bomet hariri

Kaunti ya Bungoma hariri

Kaunti ya Busia hariri

Kaunti ya Elgeyo-Marakwet hariri

Kaunti ya Embu hariri

Kaunti ya Garissa hariri

Kaunti ya Homa Bay hariri

Kaunti ya Isiolo hariri

Kaunti ya Kajiado hariri

Kaunti ya Kakamega hariri

Kaunti ya Kericho hariri

Kaunti ya Kiambu hariri

Kaunti ya Kilifi hariri

Kaunti ya Kirinyaga hariri

Kaunti ya Kisii hariri

Kaunti ya Kisumu hariri

Kaunti ya Kitui hariri

Kaunti ya Kwale hariri

Kaunti ya Laikipia hariri

Kaunti ya Lamu hariri

Kaunti ya Machakos hariri

Kaunti ya Makueni hariri

Kaunti ya Mandera hariri

Kaunti ya Marsabit hariri

Kaunti ya Meru hariri

Kaunti ya Migori hariri

Kaunti ya Mombasa hariri

Kaunti ya Murang'a hariri

Kaunti ya Nairobi hariri

Kaunti ya Nakuru hariri

Kaunti ya Nandi hariri

Kaunti ya Narok hariri

Kaunti ya Nyamira hariri

Kaunti ya Nyandarua hariri

Kaunti ya Nyeri hariri

Kaunti ya Samburu hariri

Kaunti ya Siaya hariri

Kaunti ya Taita-Taveta hariri

Kaunti ya Tana River hariri

Kaunti ya Tharaka-Nithi hariri

Kaunti ya Trans-Nzoia hariri

Kaunti ya Turkana hariri

Kaunti ya Uasin Gishu hariri

Kaunti ya Vihiga hariri

Kaunti ya Wajir hariri

Kaunti ya West Pokot hariri

Viungo vya nje hariri