Maeneo bunge ya Kenya

Maeneo bunge ya Kenya yanatumika kuchagua wajumbe wa bunge la Kenya. Kuna maeneo bunge 290 nchini Kenya.

Kenya ina mfumo wa kupiga kura wa mshindi-mmoja, kumaanisha kila eneo bunge linachagua mbunge mmoja tu.

Maeneo bunge yamegawanywa zaidi katika kata, zinazotumika kuchagua madiwani kwa serikali za mitaa.

Wabunge na madiwani wanachaguliwa wakati wa uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano. Uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2007 ulisababisha mgogoro mkubwa.

Baada ya hapo ilitungwa katiba mpya ya mwaka 2010.

Maeneo bunge kaunti kwa kauntiEdit

Kaunti ya BaringoEdit

Kaunti ya BometEdit

Kaunti ya BungomaEdit

Kaunti ya BusiaEdit

Kaunti ya Elgeyo-MarakwetEdit

Kaunti ya EmbuEdit

Kaunti ya GarissaEdit

Kaunti ya Homa BayEdit

Kaunti ya IsioloEdit

Kaunti ya KajiadoEdit

Kaunti ya KakamegaEdit

Kaunti ya KerichoEdit

Kaunti ya KiambuEdit

Kaunti ya KilifiEdit

Kaunti ya KirinyagaEdit

Kaunti ya KisiiEdit

Kaunti ya KisumuEdit

Kaunti ya KituiEdit

Kaunti ya KwaleEdit

Kaunti ya LaikipiaEdit

Kaunti ya LamuEdit

Kaunti ya MachakosEdit

Kaunti ya MakueniEdit

Kaunti ya ManderaEdit

Kaunti ya MarsabitEdit

Kaunti ya MeruEdit

Kaunti ya MigoriEdit

Kaunti ya MombasaEdit

Kaunti ya Murang'aEdit

Kaunti ya NairobiEdit

Kaunti ya NakuruEdit

Kaunti ya NandiEdit

Kaunti ya NarokEdit

Kaunti ya NyamiraEdit

Kaunti ya NyandaruaEdit

Kaunti ya NyeriEdit

Kaunti ya SamburuEdit

Kaunti ya SiayaEdit

Kaunti ya Taita-TavetaEdit

Kaunti ya Tana RiverEdit

Kaunti ya Tharaka-NithiEdit

Kaunti ya Trans-NzoiaEdit

Kaunti ya TurkanaEdit

Kaunti ya Uasin GishuEdit

Kaunti ya VihigaEdit

Kaunti ya WajirEdit

Kaunti ya West PokotEdit

Viungo vya njeEdit