Kibolongan ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wabolongan kwenye kisiwa cha Kalimantan. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kibolongan imehesabiwa kuwa watu 30,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibolongan iko katika kundi la Kiborneo-Kaskazini. Wengine wanaiangalia kama lahaja ya Kitidong au Kisegai.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibolongan kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.