Krishna ni mungu mmojawapo wa Wahindu ambaye anajulikana kama Govinda, Mkuu wa Uungu. Ana mwili wa kiroho wenye furaha ya milele. Yeye ndiye asili ya yote. Yeye hana asili nyingine na Yeye ndiye sababu kuu ya sababu zote.

Katika Uhindu, wanaamini kuwa ni avatar wa mungu Vishnu na pia kama Mkuu wa Uungu. Yeye ni mungu wa huruma na upendo na ni mmoja wa miungu maarufu zaidi na yenye heshima sana kati ya miungu ya Kihindi.

Siku ya kuzaliwa ya Krishna huadhimishwa kila mwaka na Wahindu juu ya Janmashtami kulingana na kalenda ya Hindu ya lunindu, ambayo inakwenda mwishoni mwa Agosti au mwanzoni mwa Septemba katika kalenda ya Gregori.

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.