Lugha za Kislavoni

Lugha za Kislavoni ni kikundi cha lugha chenye asili ya Ulaya ya Mashariki. Jumla kuna wasemaji milioni 300 wanaosema lugha ya Kislavoni kama lugha ya mama pamoja na wengine 100 wanotumia lugha hizi kama lugha ya pili. Lugha hizi ni sehemu za familia ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Kuhariri Lugha za Kislavoni



Lugha za Kislavoni zenye wasemaji wengi ni Kirusi (milioni 140 wasemji kama lugha ya kwanza, wengine milioni 110 kama lugha ya pili), halafu Kiukraine na Kipoland (kila moja lenye wasemaji milioni 50).

Lugha hizi zapangwa kwa vikundi vitatu:

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kislavoni kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.