Luigi Dadaglio

Kadinali wa Kikatoliki (1914-1990)

Luigi Dadaglio (28 Septemba 191422 Agosti 1990) alikuwa Kardinali wa Kanisa Katoliki na Mkuu wa Kitengo cha Msamaha wa Kitume (Major Penitentiary) katika Kanisa la Roma.

Luigi Dadaglio

Maisha ya awali

hariri

Alizaliwa Sezzadio, Italia, na alipata elimu yake katika Seminari ya Acqui. Alipadrishwa tarehe 22 Mei 1937. Kuanzia mwaka 1938 hadi 1942 aliendeleza masomo yake katika Chuo Kikuu cha Kipapa cha Lateran, ambako alipata shahada ya uzamivu katika sheria za kanisa na sheria za kiraia (utroque iure). Baadaye alisoma katika Chuo cha Kipapa cha Kidiplomasia mjini Roma, ambako alisomea diplomasia kati ya mwaka 1941 hadi 1943.[1][2]

Marejeo

hariri
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.