1914
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| ►
◄◄ |
◄ |
1910 |
1911 |
1912 |
1913 |
1914
| 1915
| 1916
| 1917
| 1918
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1914 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
- 28. Juni: Kaisari-mteule Ferdinand wa Austria anauawa mjini Sarajevo.
- 28. Julai: Austria inatangaza hali ya vita dhidi ya Serbia.
- Agosti: vita ya Austria-Serbia inapanuka kuwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.
- 3 Septemba - Uchaguzi wa Papa Benedikto XV
- Oktoba: Milki ya Osmani inajiunga na vita upande wa Ujerumani.
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 5 Februari - Alan Hodgkin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 22 Februari - Renato Dulbecco, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1975
- 31 Machi - Octavio Paz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1990
- 26 Aprili - Bernard Malamud, mwandishi kutoka Marekani
- 30 Aprili – Vermont Royster, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1953
- 19 Mei - Max Perutz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1962
- 17 Juni – John Hersey, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1945
- 29 Juni - Ellen Kuzwayo, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 14 Oktoba - Raymond Davis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2002
- 25 Oktoba - John Berryman, mshairi kutoka Marekani
- 28 Oktoba - R.L.M. Synge, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1952
bila tarehe
- Tenzing Norgay, mpelelezi kutoka Nepal
WaliofarikiEdit
- 16 Machi - Charles-Albert Gobat, mwanasiasa Mswisi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1902
- 23 Machi - Mtakatifu Rafka Petra, mmonaki wa kike wa Lebanon
- 25 Machi - Frederic Mistral, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1904
- 2 Aprili - Paul Heyse, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1910
- 14 Juni - Adlai Stevenson, Kaimu Rais wa Marekani (1893-97)
- 21 Juni - Bertha von Suttner, mwandishi Mwaustria, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1905
- 20 Agosti - Papa Pius X
Wikimedia Commons ina media kuhusu: