Belasica ni mlima wa Balkani (Ulaya), kati ya nchi za Jamhuri ya Masedonia Kaskazini, Ugiriki na Bulgaria.

Mlima Belasica

Urefu wake ni mita 2,029 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Belasica kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.