Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

Mpendwa, uliunda makala za Denis JR ambayo nimefuta. Tafahali ujaribu kuelewa Wikipedia ni nini. Hatua ya kwanza: si mahali pa kujitangaza au kutangaza marafiki. Kipala (majadiliano) 07:14, 30 Desemba 2019 (UTC)Reply

Kuhusu kufutwa kwa Wikipedia ya Denis RJ hariri

Nimetoa mchango wangu lakini ndugu Kipala amefuta sijui kwanini. Ili hari msaanii niliechangia ni msanii halisi kabisa. Kwasasa anawimbo mmoja na ameshautoa, au Wikipedia inawahusu wakina nani., Acha ubaguzi huo Bwana Kipala🙏🙏 Mikuyu Denis (majadiliano) 15:14, 30 Desemba 2019 (UTC)Reply

Mpendwa makala jinsi ulivoiacha haikuonyesha dalili yoyote kama mtu huyu ana umaarufu fulani. Pia ulitangaza (nikikumbuka vema) anwani zake kwenye mitandao ya kijamii. Kwa bahati mbaya tunapata hapa mara kwa mara watu wanaojaribu kujitangaza ambayo haikubaliki, na makala yako ilifanana na hiyo kabisa. Wimbo mmoja haiundi umaarufu bado. Tafadhali usome mwongozo na sehemu ya umaarufu. Karibu sana kuchangia tena kwenye msingi imara.Kipala (majadiliano) 15:54, 30 Desemba 2019 (UTC)Reply
Mbona una haraka ya kumtangaza mtu aliyeanza kazi mwaka huuhuu? Subiri ajipatie umaarufu bila kupitia mgongo wa Wikipedia... Amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 12:02, 31 Desemba 2019 (UTC)Reply