Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

--Muddyb MwanaharakatiLonga 08:30, 24 Novemba 2009 (UTC)Reply

Ruthdeshy hariri

Kenya

Masomo inchini Kenya

Mtoto humtunzavyo ndivyo akuavyo. = hariri

Maana ya nje ya msemo huu ni kusema ya kwamba mambo unayomfunza mtoto akiwa mchanga, ndiyo huendelea kuyajua. Hatimaye, mtoto huyu hubakia kujua na kufuata mambo aliyoyazoea. hivi ni kuumaanisha ya kwamba alichozoea ndicho atakachoendelea kufanya. Kwa mfano, ikiwa mtoto amezoea kutowaheshimu wakubwa wake, hata akikua ataendelea vivyo hivyo. Vile vile, kama mtoto amezoea kuwatendea mema watu wengine, hivyo hivyo ndivyo ataendelea kufanya hata akikomaa.

Maana ya ndani ya msemo huu ni kwamba, mambo ambayo mtu anayoyazoea akiwa mdogo, huwa ni vigumu kuyasahau anapokomaa. Msemo huu utumika kuwasuta wazazi ambao wana tabia ya kutowakosoa watoto wao wanapokosa au kufanya mambo yasiyostahili. kwa mfano, mkubwa wako anapokusalimia, ni tabia nzuri kumjibu. Vili vile, ni vyema kuwaheshimu wakubwa wako kwa vyovyote vile.

--ruthdeshy 12:45, 1 Desemba 2009 (UTC)

KWC Mtumiaji huyu ni mshiriki katika Shindano la Wikipedia ya Kiswahili la 2009.   (Submissions)
own translation.

Elimu nchini Kenya hariri

Elimu nchini Kenya ni ya muundo wa 8-4-4 tangia miaka wa 1980s, ambayo ni miaka nanne katika shule ya msingi, miaka minne katika shule ya upili, na kisha miaka minne tena katika shule ya achuo kikuu.