Maloni wa Rouen (Llanewrwg, Welisi, 229Hericourt, Ufaransa, 314) alikuwa askofu wa Rouen (Ufaransa).[1][2][3].

Mt. Maloni katika dirisha la kioo cha rangi katika Saint Ouen's church, Rouen, 1325/1339.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Oktoba.[4]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri