Kioo cha rangi

Kioo cha rangi (kwa Kiingereza "Stained glass") ni aina ya sanaa inayotumia rangi mbalimbali za kioo kuonyesha sura maalumu au kupendeza tu kwa uzuri.

Matukio mbalimbali ya maisha ya Yesu katika kanisa kuu la Milano, Italia.
Mfalme Daudi katika kanisa kuu la Augsburg, Ujerumani, 1130 hivi.
Kazi za Arnaldo Dell'Ira, 1930 hivi.

Kwa kawaida kinatumika katika madirisha, hasa ya makanisa, lakini asili yake ni Dola la Roma katika karne ya 1.


Viungo vya njeEdit

Wikimedia Commons ina media kuhusu: