Masimo wa Cumae
Masimo wa Cumae (alifariki 303 hivi) alikuwa Mkristo anayekumbukwa kama mfiadini wa mji huo wa kale katika Italia Kusini[1].
Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |